| KUHUSU KAMPUNI |
Mikoani Traders ni kampuni ya watengenezaji na wasambaji wa unga wa ngano wa azania ndani na nje ya nchi kwa zaidi ya tisa. Bidhaa zetu ni za hali za juu na zinafungwa kwenye ubora na ujazo wa kimataifa.
Bidhaa zetu ni kama zifuatazo: unga wa ngano SBF, HBF, King, Premium Grade 1, Biscuit Flour, PPF,Atta,Brown.
Jina ya nembo yetu ni, Azania Wheat Flour ndlo linalotumika ndani na nje ya nchi. Tuna viwanda viwili vya ngano kimoja kipo Nyerere road na kingine kipo Nelson Mandela Road mjini Dar es Salaam. Kongoli hapa kuona ramani ya kiwanda chetu.
Bidhaa Bora |
|
|
|